Ujanja wa Farao na Ombi la Musa la Uhuru
NATAKA FARAO AKETUKA KATIKA KITU, NAAVA NJIA YA Wamisri, PAMO NA MZEE NA NDUKE WAKE 29 Musa akasema, Tazama, nitakwenda zangu, nami nitamwomba Bwana, ili makundi ya nzi yapite kutoka kwa Farao, na watumwa wake, na watu wake, kesho; lakini Farao asifanye hila tena, kwa kutokuruhusu watu waende kumtolea Bwana dhabihu. 30 Musa akatoka kwa Farao, akamwomba Bwana. 31 Bwana akafanya kama alivyosema Musa; akaondoa nzi kutoka kwa Farao, na watumwa wake, na watu wake; hakuokoka hata mmoja. 32 Lakini Farao akaufanya moyo wake kuwa mgumu wakati huu pia, wala hakuwaruhusu watu.

Ella